Hahahaa hadi raha
Babu yangu mie anakunywa Bia 300 pasipo kutoka bar
Sawa.Babu yangu mie anakunywa Bia 300 pasipo kutoka bar
Hahha kwamba ticha wa mathe anakuja zake kiskuli kupiga pindi na mvua ?
Yaani hata hawaziHahha kwamba ticha wa mathe anakuja zake kiskuli kupiga pindi na mvua ?
Noma kweliaiseee kuna watu ni hatari hapa duniani