CAGvsSPEAKER
JF-Expert Member
- May 16, 2019
- 1,339
- 5,044
Yanga Oyee!!
Tunayanywa bwana......hiyo ilikuwa waalimu wa zamani.
Wanawaonea kumbeTunayanywa bwana......hiyo ilikuwa waalimu wa zamani.


Wanatuonea sana. Siku hizi na nguo tunanunua......ile ya shati moja siku 3 imeisha.Wanawaonea kumbe![]()
Vizuri sana....Wanatuonea sana. Siku hizi na nguo tunanunua......ile ya shati moja siku 3 imeisha.
Magufuli mitano tena kwakweli.

Hawa jama walotajwa hapo itakuwa ni wale wakiacha pombe tu wanakufa. Inabidi waangalie upya huo uamuzi wa kuwazuia kuuziwa pombe. Vinginevyo wataweka turubali nje muda si mrefu!!





Hawa jama walotajwa hapo itakuwa ni wale wakiacha pombe tu wanakufa. Inabidi waangalie upya huo uamuzi wa kuwazuia kuuziwa pombe. Vinginevyo wataweka turubali nje muda si mrefu!!![]()



Huyo dada ameshindwa kuelewa nn sasa? Carina TI halafu mke wake atakuwa nani sasa kama sio bodaboda😂
Hapana,Sasa watu watakua wanapataje updates kuhusu huo ugonjwa??Hapana. Kupunguza kuenea kwa habari za uwongo![]()