Huyu mwamba tumlete bongo ni hazina kubwa kwa wale jamaa wa celebrities comments 🤣
🤣🤣🤣😂😂😂Pale mwalimu anakupa alama 7/50 passage utunge kuhusu mbwa wako,then unaamua kumbeba ili ujue kati yake na wewe nani anamjua vizur uyo mbwaView attachment 1686209
Wanaume wa Kipare washazoea vibamia vyaoWaziri wa Afya , Maendeleo ya Jamii , Jinsia , na Watoto , Ndugu Doroth Gwajima amepiga Marufuku Neno Kibamia linalotumiwa sana na Wanawake katika kuwadhalilisha Wanaume hasa wakiachana.
"Kuna tabia imeibuka siku za karibuni na imeendelea kuota mizizi unakuta dada akiwachana tu na aliyekuwa mpenzi wake basi silaha ni kumtangaza kwamba ana 'kibamia' huu ni udhalilishaji kama udhalilishaji wa kijinsia na wanaume wengi wameharibiwa saikolojia kwa kutamkiwa neno hili 'kibamia' hivyo ni marufuku neno hili kutumika kwenye jamii na mwanaume akidhalilishwa kwa kutamkiwa neno hili akaripoti kituo cha Polisi adhabu ni faini ya kulipwa laki tano au mtenda kosa aende jela miezi sita au vyote kwa pamoja." Waziri Doroth Gwajima.
.
SHARE
Huu ni uharibifu kabisa
😀😀😀 huu ni mtihani mwingine kwa asie tumia tech vizuri
Umejuaje na weweWanaume wa Kipare washazoea vibamia vyao
Nilisikia people wanaongeaUmejuaje na wewe
Ndo muache hiyo tabia ssaHuu ni uharibifu kabisa