Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 360,096
- 828,932
- Thread starter
- #32,021
Kama Mungu kaamua kuwasamehe watu wake we roho kwanini ikuume iyo pia Ni dhambi kubwa sanaAisee![]()






Siyo kweli, hizo white bubbles siyo TB, ni cysts za minyoo ya tegu ya nguruwe: Taenia solium - Porcine cystercosis. binadamu akila nyama mabayo haijaiva vizuri minyoo hiyo huenda kutengeneza cyst katika ubongo, hivyo, binadamu hupata kifafa na anaweza kufa ikiwa hatapata huduma mapema
Maskini gari la watu

Ameamua kuitumia image ya ban kama avatar tu.Mkuu Emiir huwa najiuliza nakosa jibu, hivi inakuwaje "member" awekewe ban na wakati huo huo akawa anaendelea ku "log in".
View attachment 1666205
Wakati Kanungila Karim anaitumia image ya "Ban" alikuwa hajapigwa ban, ila sio poa kutumia ban niliyopigwa kama kielelezo chief!















Mwanzo kwa Kanungila Karim ilikuwa ni avatar, lakini baadae ndio akapigwa bab kweli.Kwahiyo umeamini kuwa hizo ni ban na siyo "avatar" kama munavyo dai?
Wakati Kanungila Karim anaitumia image ya "Ban" alikuwa hajapigwa ban, ila aio poa kutumia ban niliyopigwa kama kielelezo chief!![]()



mkuu unajua nilikuwa napata mkanganyiko kulin'gamuwa swala hilo, Ikanibidi nitoe duku duku. Pole na ban mkuu 


Kondoo huponzwa na mkia wake!