Taavid
JF-Expert Member
- Feb 7, 2018
- 8,320
- 71,079
Ndo zangu hizo huwa naitikia tu ili tufikee


kawaida sana hiyo mkuu
Ndo zangu hizo huwa naitikia tu ili tufikee


kawaida sana hiyo mkuuView attachment 1664182
Malegend wameshaelewa! ...
Karibu tueleweshaneSijaelewa hapa
Sahihi"For God's sake,someone tell her it's a Mushroom"
Chief sio utani umetumia translator 














Sahihi
(Uyoga alidhani ndio kirungu)
Chief sio utani umetumia translator
![]()
Sahihi
(Uyoga alidhani ndio kirungu)
Chief sio utani umetumia translator
![]()
Geofrey English(Mngereza)Emiir wengne hawaa tena media kubwa kama hii
Bora wawe wanatumia tu lugha ya nyumbani sasa hayo mambo ya Killing the body aje hapo
Very funny!
Emiir wengne hawaa tena media kubwa kama hii
Bora wawe wanatumia tu lugha ya nyumbani sasa hayo mambo ya Killing the body aje hapo
Killing the body?🤔
Geofrey English(Mngereza)
Niliwaza hiki pia nilipoona post ya jamaa imetafsiri hadi jina la marehem.. Sidhani kama media kama ile wanaweza kuwa wazembe kichwani namna hiiLakini hiyo ni translator ya Instagram. Waliandika kiswahili
All in all ukitaka ucheke we ujaribu kuwa unazitafsiri hizo captions