sawima
JF-Expert Member
- Jul 9, 2019
- 5,645
- 8,735
You are going insane
Relax amigo...You are going insane
Kumegewa kuko pale pale hata ufanyeje Kasie Matata. Na kunauma sana hasa kama wewe mmegewaji umejitoa kabisa kabisa humegi nje. Mimi naamini kumegewa hakuepukiki. Unabisha?Aahahahahaha wanaume mpunguze wivu hata matunda na mbogamboga, basi muwe mnatengeneza fruit and vegetable salad ili kuondoa hofu ya kumegewa.![]()
Ndiyo mi nabishaKumegewa kuko pale pale hata ufanyeje Kasie Matata. Na kunauma sana hasa kama wewe mmegewaji umejitoa kabisa kabisa humegi nje. Mimi naamini kumegewa hakuepukiki. Unabisha?
Wewe ni mwanamke? Kama jibu ni ndiyo; na kama unabisha kwa dhati kabisa na dhamiri safi basi mumeo ana bahatiNdiyo mi nabisha



Aise kamejaza meno balaa



Mwingine akilewa tu ooh nikifa miye lazima nikazikwe Tukuyu utafikiri ataacha nauli


