Shimba ya Buyenze
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 178,254
- 1,077,527
Wakaka wengi wana wivu sana na dada zao. Sijui kwaniniAkizubaa mwenyewe huyu huyu ataishia kupigwa. Anaona wivu utafikiri yeye ndiye atamkula dadake. Awaache mabaharia wafanye yao hata kama inauma
Funika bovu
Sijaelewa hapa
Ni uchungu tu. Hasa kama we ndo big bro na kidada chako kilikuwa kidogo majuzi hapa unakinunulia yunifomu za shule na leo unawaona masela wanakiburuza dah! Inauma kiaina japo hata kama wewe pia unaburuza dada wa wengine hukoWakaka wengi wana wivu sana na dada zao. Sijui kwanini
Groom kibonge sana...Sijaelewa hapa
Binti hapo kafata pesa tu, chumbani ni zero hapoGroom kibonge...
Haaaaa Haaaaa 😂. Ndo hivo muwaache wadogo wa wengineNi uchungu tu. Hasa kama we ndo big bro na kidada chako kilikuwa kidogo majuzi hapa unakinunulia yunifomu za shule na leo unawaona masela wanakiburuza dah! Inauma kiaina japo hata kama wewe pia unaburuza dada wa wengine huko
We acha tu. Inauma sanaHaaaaa Haaaaa . Ndo hivo muwaache wadogo wa wengine
Haaaaa hata wewe pia inakuumaga? Ina mana hamtaki wadogo zenu wapate starehe Jamanii ?We acha tu. Inauma sana
Sio bongo hiyo labda mamtoni
Yes,i are!A broken English teacher.View attachment 1633470