







Kwani uongo?Toa ushenzi wako! Msipende kudhalilishana kisa vyama, no one is right!
Mali ya bahili huliwa na wadudu.Dah...kapupi kanajilia mgongo
![]()
Vp kuhusu mwenyekiti wa kudumu?Kwani uongo?View attachment 1613663
Meko kafanyaje tena?Vp kuhusu mwenyekiti wa kudumu?
Halafu mtu anasema eti hakuna uhuru wa kusema. Uhuru uvuke hapa uende wapi sasa?