Dkt. Magufuli (Kinyerezi, Dar): Nimemteua Zungu kuwa Waziri wa Mazingira wa Tanzania nzima, halafu ninyi mnataka mumtoe..
> Au kwasababu ni mweupe mno, kwa bahati mbaya ni Mwanaume, angekuwa Mwanamke angetolewa ng’ombe wengi sana kule Mwanza








ana hamisha magoli 