Hapo jamaa anakabembeleza kaende kucheza halafu kawaachie uwanja..
Dah huu mzoga ungezima mtaani kwetu..wana wangeufuturu bila udhu
Ukizipata nistue aisee maana namimi huku hali ni muhali
Hii ni kweli kabisa ...wengine sisi ni wazee wa vilinge sasa imagine mteja wako anakuona umetokelezea kwenye picha ya club ukiwa na watoto wakali kinyama huku mwenyewe chini umetupia simple ya kibabe , kati umepiga denim jeans,juu umetupia Tsht ya kishua yenye six pack ndani yake halafu juu kabisa umepigilia kapelo la kinyangema hasa...hapo ni kwa vile tu unyunyu wa bei ya Tecno hauwezi kusikika harufu yake kwenye picha......
Imagine mgonjwa wako akikuona hivyo atakuchukuliajeeee?????
HahahahHii ni kweli kabisa ...wengine sisi ni wazee wa vilinge sasa imagine mteja wako anakuona umetokelezea kwenye picha ya club ukiwa na watoto wakali kinyama huku mwenyewe chini umetupia simple ya kibabe , kati umepiga denim jeans,juu umetupia Tsht ya kishua yenye six pack ndani yake halafu juu kabisa umepigilia kapelo la kinyangema hasa...hapo ni kwa vile tu unyunyu wa bei ya Tecno hauwezi kusikika harufu yake kwenye picha......
Imagine mgonjwa wako akikuona hivyo atakuchukuliajeeee?????
😆 hapo muda wa kurudisha unamfuata, brother njoo kwanza tuongee....Nitakutilia mafuta blooView attachment 1573281
ukute mafuta yenyewe uliweka ya ten!!!hapo muda wa kurudisha unamfuata, brother njoo kwanza tuongee....