mama kubwa
JF-Expert Member
- Nov 3, 2010
- 6,527
- 10,538
Wajazito mara nyingi hawavai highheels. Pia hata awe sista du buti na Raba huwa ni kero, ndio maana nimemchagua mwenye simple.Nipe vigezo
Wajazito mara nyingi hawavai highheels. Pia hata awe sista du buti na Raba huwa ni kero, ndio maana nimemchagua mwenye simple.Nipe vigezo
Acha utani, pale wanawaza mademu kila muda. Kila bash na graduation wapo. Mawenzi ndo mademu zao wakuu. Afu watoro sana kwenda mitaani na kujichanganya na Ushirika.hahahahawatoto wa Old moshi huwa wananifurahisha sana yani niwagumu sana siku hizi.wale wa sasa sidhani kama hata wanawaza mademu
Wanaume wameshaelewaSijaelewa ata...![]()
Sijaelewa ata...![]()


