Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

FB_IMG_1599024418550.jpg
 
Hivi ni kwanini mtoto anazaliwa na kichwa kikubwa mkuu.

Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app
Mtoto yupi? Huyo kwenye picha au generally? Kama ni huyo kwenye picha jibu la ugonjwa unaomsumbua liko hapo: hydrocephalus (Google).

Kama ni generally, maelezo yatakuwa yameegemea kwenye evolutionary biology
 
Back
Top Bottom