Kwa kutazama picha hz kuna kitu kikubwa sana unaweza kukigundua.Ungeanza kukopa kwanza energy drink kabla ya pikipikiView attachment 1560296View attachment 1560298
Hivi ni kwanini mtoto anazaliwa na kichwa kikubwa mkuu.
Mtoto yupi? Huyo kwenye picha au generally? Kama ni huyo kwenye picha jibu la ugonjwa unaomsumbua liko hapo: hydrocephalus (Google).Hivi ni kwanini mtoto anazaliwa na kichwa kikubwa mkuu.
Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app
Hili darasa linapatikana wapi?
Wananzega piga chini huyu bado hajakua

Noma sana, nimepiga picha ndio initokee
hapo unaomba Mungu wote “Waliokuchungulia” wasiwe ni watu wanakufahamu lakini hata kama wanakufahamu kwani wameichukua?
![]()




wee unatembea barabarani watu wanakunyooshea vudolewee unatembea barabarani watu wanakunyooshea vudole