Bushmamy
JF-Expert Member
- Aug 18, 2019
- 10,639
- 18,984
Sasa ukamwambiaje? Kiukweli mi sivipendi hata kidogo hivo vitu..Kusema ukweli siku ya kwanza kumuona sista angu kavaa hivyo vidude nilikwazika sana.
Hata Jana Kuna jirani yangu Mmoja tunalingana nae nikamwambia kwanini anavaa huo uchafu haoni aibu au anajua maana yake? Akasema anapenda eti ni urembo 😞
