Sijafunga hata moja dahNjema kabisa, ulikuwa kwenye mfungo![]()

Bibi hayo mapaja, vijana hawajifikirii mara mbili
Ila Arsenal sijui wana laana gani hawa jamaa

Kusema ukweli siku ya kwanza kumuona sista angu kavaa hivyo vidude nilikwazika sana.
Juzi nilikuwa shamba, nikachukua boda inipeleke sehemu wakati tunaanza safari yule jamaa akanambia "broo angalia mkono na bega nilicheka sana

Urembo🏃Kusema ukweli siku ya kwanza kumuona sista angu kavaa hivyo vidude nilikwazika sana.
🤣🤣🤣Juzi nilikuwa shamba, nikachukua boda inipeleke sehemu wakati tunaanza safari yule jamaa akanambia "broo angalia mkono na bega nilicheka sana![]()
Shida moja wanaovaa vikuku wote wanaonekana wadangaji tuUrembo![]()
Aisee ni kweli usemavyo,kama kutoboa pua tu🙌Shida moja wanaovaa vikuku wote wanaonekana wadangaji tu