#HABARI Asteroidi kubwa kama jengo refu, iliyopewa jina 2025 FA22, itapita salama karibu na Dunia tarehe leo 18 Septemba 2025, kwa umbali wa zaidi ya maili 520,000 — mara mbili zaidi ya umbali kati ya Dunia na Mwezi‼️👀
Asteroidi hiyo iligunduliwa kwa mara ya kwanza mwezi Machi 2025, na itasafiri kwa kasi ya zaidi ya maili 24,000 kwa saa, bila kuleta tishio lolote kwa sayari yetu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.