Hii formula Kwa wachaga Sawa lakini upande wa ndugu zangu wazaramo na waruguru wakiwa na hela hawajifichi
Ishawahi kunitokea hii Zanzibar umeme ulipokuwa umekatika miezi mitatu mfululizo. Nilizunguka hiyo sehemu masaa matatu halafu ikawa imefika saa 3 usiku. Ikabidi niite Taxi lakini Wazanzibari ni waaminifu sana yule dereva akaniambia umezunguka hapa masaa mengi sehemu unapooenda ni pale. Uwe una salimia ndugu yetu 😂😂😂