moudgulf
JF-Expert Member
- Jan 23, 2017
- 156,133
- 770,212
Mungu haombwi kwa sadaka.
Sadaka ni sehemu ya Ibada, aliye nacho atatoa asiye nacho atapewa na maombi yanaendelea.
Mungu haombwi kwa sadaka.
Hakuna majaabu
Ndivyo walivyo
Wajuba wanazifunika kanika kisha wanasepa nazo
Man U inapigwa nyingi kuliko ilivyochapika PSG 🚶♂️🚶♂️🚶♂️
Nitafutie wa aina hiyo nijaribu😁😁
Tumia Tanga Cement chapa ya Simba😁😁
Ninunulie mie nanunua mchanga😁Tumia Tanga Cement chapa ya Simba😁😁
Nitafutie wa aina hiyo nijaribu😁😁
Tafuta mwenyewe😁Nitafutie wa aina hiyo nijaribu😁😁
Tunaambiwa usipo toa sadaka basi huwezi kujibiwa maombi😁Mungu haombwi kwa sadaka.
Sadaka ni sehemu ya Ibada, aliye nacho atatoa asiye nacho atapewa na maombi yanaendelea.
Mwaka 2005 fainali ya UEFA. LIVERPOOL VS AC MILAN. Nilitaka kuuwawa 😂Kukatiza tuu mbele ya projekta, niliskia...
Wee boyaaa njia yote huoni pa kupita....😨😨😨
Uongo huo, Mungu ni wa wote, walio nacho na wasio nacho wote wanamuomba Mungu na wanajibiwa duah zao.Tunaambiwa usipo toa sadaka basi huwezi kujibiwa maombi😁
Wote aliotembea nao waongo🪒
Halafu ufosi kwenda kukaa siti za mbele na kiatu chako kinalia, ko, ko, ko, ko, wakati ni kipindi cha mahubiri
Magari yanapita vyakutosha