Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 78,493
- 235,182
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nimegundua bado sana, acha niendelee tu kufakamia[emoji41][emoji41]View attachment 1549408
Sent from my Redmi 8 using JamiiForums mobile app
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] nashikwa mafua tu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]View attachment 1549723
Mimi nashikwa na homa kila siku [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787] nashikwa mafua tu
Ukiwa hauko busy unawaza kula tuweek mbili zilizopita nilikuwa busy sana nikajikuta nakula slice tatu au nne za mkate nashiba sana alafu njaa nakuja kuhisi jioni hapo nikagundua mtu unakula sana sababu hauna u busy
Kudadeki liwalo na liwe, kesho narudi hospitali kusafisha jinoUna wiki 3 kwa mjomba tangu umefika na leo umeenda kung'oa jino na bado una pamba mdomoni ile unarudi unaambiwa "karibu anko familia haikuwa vizuri ila leo ndo mapokezi yako rasmi karibu sana"View attachment 1549823
Ni rahisi ngamia kupenya katika tundu la sindano kuliko binti wa Kibongo kudeti na baharia asiye na hela [emoji16][emoji16][emoji16][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]View attachment 1549883
Haki ya nani napambana hivyo hivyo na jino langu liwalo na liwe [emoji16][emoji16][emoji16]Una wiki 3 kwa mjomba tangu umefika na leo umeenda kung'oa jino na bado una pamba mdomoni ile unarudi unaambiwa "karibu anko familia haikuwa vizuri ila leo ndo mapokezi yako rasmi karibu sana"View attachment 1549823
Mjomba unalijua jino ulisha wahi kung'oa lkn?[emoji16][emoji16][emoji23]Kudadeki liwalo na liwe, kesho narudi hospitali kusafisha jino
Nimewahi mkuu.Mjomba unalijua jino ulisha wahi kung'oa lkn?[emoji16][emoji16][emoji23]
Sent from my SM-G532F using JamiiForums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]