Desierto
JF-Expert Member
- Aug 26, 2019
- 850
- 2,967
Nafanya japo sio kwa 100%
Nafanya photographer
Nachora
Nafanya Sanaa za za mabox
Fundi vifaa vya electronics
Software za simu na
Hardware
Hivi vyote nimefanya na baadhi ndo paka Sasa vinaniweka mjini
Ndoto zangu.
Nimiliki camera kubwa ya kuanzia m1 napenda sana kupiga picha
Kwanini camera kubwa kwasababu naamini camera itabaki kuwa na thamani siku zote kwenye kupiga picha na naamini naweza kuifanya ikawa inaniingizia kipato.
