Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

Is that real the problem?

Is that real the solution?

Screenshot_20250126_124926_Adblock Browser.jpg
 
Jamaa anapiga mistari hadi binti ameanza kujing'ata kucha 😜

Heri ya Mwaka Mpya Mkuu, natumai Mungu wetu wa rehema ameendelea kutupigania na kutupa afya sisi Wazee wote wa JF 🙏🙏
Jamaa anafunga kamba hatari. Eti Yesu Asingemuwahi yeye ndiye angemfia demu ili kuondoa dhambi zake 🙏🏿

Heri ya mwaka mpya pia mkuu. Natumaini kila kitu kiko salama huko GC. Tuzidi kumuomba Mungu ili Azidi kutubariki na kutuongezea miaka yenye heri na afya tele hapa duniani. Asante sana ndugu yangu na Mungu Akubariki sana pamoja na wapendwa wake 🙏🏿🙏🏿🙏🏿
 
Back
Top Bottom