Shimba ya Buyenze
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 183,582
- 1,105,829
Si ajabu last born huyu 😁😁😁
🤣🤣🤣🤣 Kumbe namba zina matumizi yake kwenye kugegedana.
Cheki titi hilo
Jamaa anapiga mistari hadi binti ameanza kujing'ata kucha 😜
Kuchapiwa ni Siri ya ndani
Jamaa anafunga kamba hatari. Eti Yesu Asingemuwahi yeye ndiye angemfia demu ili kuondoa dhambi zake 🙏🏿Jamaa anapiga mistari hadi binti ameanza kujing'ata kucha 😜
Heri ya Mwaka Mpya Mkuu, natumai Mungu wetu wa rehema ameendelea kutupigania na kutupa afya sisi Wazee wote wa JF 🙏🙏
Hahaha........bila hiyo mistari binti hawezi kuelewa, hapo anahisi jamaa ni mtume baada ya wale 12 wa Masihi 🤗Jamaa anafunga kamba hatari. Eti Yesu Asingemuwahi yeye ndiye angemfia demu ili kuondoa dhambi zake 🙏🏿
Heri ya mwaka mpya pia mkuu. Natumaini kila kitu kiko salama huko GC. Tuzidi kumuomba Mungu ili Azidi kutubariki na kutuongezea miaka yenye heri na afya tele hapa duniani. Asante sana ndugu yangu na Mungu Akubariki sana pamoja na wapendwa wake 🙏🏿🙏🏿🙏🏿