#HABARI: Watu sita wakiwemo walimu watano wamefariki dunia, baada ya gari aina ya Prado namba T 647 CVR walilokuwa wakisafiria kupata ajali na kuwaka moto, majira ya saa mbili Asubuhi leo tarehe 28 Disemba, 2024 katika Kijiji cha Chunya wilayani Mbinga mpakani mwa Wilaya ya Mbinga na Nyasa mkoani Ruvuma.
Mkuu wa Wilaya ya Nyasa, Peres Magiri amethitisha tukio hilo na kuwataja waliofariki ni;
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.