Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

20241210_230725.jpg

Tatizo ni hilo ROBA.
 
Ghafla nimehisi vibaya ulivyo sema, umenifanya nifikirie kuhusu maisha nayoishi hapa duniani. Kuna muda huwa nafikiria, hivi nikifa sijui nitasema nini uko nikienda, namuomba Mungu niweze kuishi kama kusudio lake.
Fanya ibada, heshimu watu, jiepushe na vitu vya watu.
Maisha yetu hapa Duniani ni mafupi mno, lakini akhera ni yenye kuendelea😇😇
 
Back
Top Bottom