Wanaendaje bila escort? Au kuna mtu walikuwa wanamlia timing afe🤣🤣🤣🤣
Wanaendaje bila escort? Au kuna mtu walikuwa wanamlia timing afe🤣🤣🤣🤣
Duh🥺🥺Bumps za Shinyanga 😃
View attachment 3171400
Mzungu yoyote mwenye akili hawezi weka muaffica kwenye admistration yake
Kwa wanaume ni mind and penis
Mie sielewi kabisa haya mambo ya ndumba. Tunatishana nini wakati bottom line ni ndalama...fanya ndumba zote wee hakikisha note inapatikana bila kutishana na vinyago
Very simple and very true
Mbona alimwajibisha waziri wake aliposema maneno kama hayo?