Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

a7063615-66d6-454c-9265-0ce7e5066eeb.jpeg
 
Mke wake ammletea Wanawake waku sex nae nyumbani 🥶🥶🥶

Mke wa Mwanamuziki maarufu duniani Neyo awaleta Wanawake Wawili warembo ambao Kazi Yao itakua ni kujamiana na mume wake kipindi ambapo atakua ameenda kujifungua au katika kipindi chote ambacho yeye itakua shughuli nzito kukutana na mumewe

mke huyo anasema hakutaka mume wake aanze kuhangaika na Wanawake wa nje ameamua amletee mwenyewe ili arahisishe mambo

" Nilimletea Wanawake Wawili ambao ni Sexy sana warembo kweli kweli kipindi hiki Cha ujauzito mpaka siku ntajifungua. Wanawake hao walikua wanakuja wakati mume wangu akihitaji tendo kutoka kwangu . Lakini nilipojifungua na kupumzika vya kutosha Wanawake hao waliondoka na nilifanya hivo kwa sababu sikutaka mume wangu afuate nje Bora nimletee ale mwanamke ambae nimemchunguza ili asilete virusi ndani ya nyumba yangu 😁" alisema mke wa Neyo

Vp wadau hii kwenu imekaaaje ,😂View attachment 3137575
😍😍😍 Ah huyu Sasa ata nusu ya mali unamuachia mkiachana bila kinyongoooo
 
Kuna marubani 11 tu duniani wanaoruhusiwa kutua na kuruka kutoka katika huu uwanja. Umezungukwa na milima na ukikosea kidogo tu mnajibamiza. Kutua ni hatari zaidi maana runway ni fupi sana na uki-abort unaishia milimani.....

View attachment 3137865
Upo wapi huo uwanja wanipe mie ndege waone navyopaisha chuma hewani bila matatizo yoyote. Wee nafasi yoteee hiyoooo ukagonge mlima basi utakuwa umenunua leseni ya urubani
 
Alooo hii intermila Wala haikuwa na mastaa kibao wakusema watabeba UEFA ila bwana kulikuwa na wachapa kazi kweli kweli...lucio Walter Samuel eto Diego milito sniejder Julio Cesar maicon enzi hizo katika ubora wake kavla hajatolewa pumu na Gareth bale 🤣🤣🤣
Timu ilichukuwa individual awards zote za UEFA msimu huo.
Best coach, best keeper, best defender, best midlfielder na best striker. Katika Moja ya kazi Bora sana ya Mourinho ni hii ya kushinda UEFA na inter milan
JIFUNZE KWA MOURINHO🗣️

Jose Mourinho anasema nilipokuwa kocha wa Inter Milan alikuja mbele yangu mchezaji Zlatan Ibrahimovic akasema nataka kuondoka klabuni hapa ili nikashinde ubingwa wa UEFA.

"Wasaidizi wangu walihofia wakiamini kuwa hatuwezi kushinda bila yeye, hata wachezaji wenzake hawakutaka tumpoteze".
Hata mimi nilipata hofu lakini nikasema pengine ukiondoka tutashinda.

Kisha nikasema kama ataondoka tutajaribu kumsajiri Samuel Etoo ambae alikuwa anacheza Barcelona ambayo Etoo alitaka kwenda.
Niliamini kuwa Diego Milito na Etoo wanaweza kuleta kitu cha tofauti kimbinu ndani ya timu yetu.

Mazungumzo yakafanyika Ibrahimovic na Etoo wakabadilishana timu.
Ibrahimovic alidumu kwa msimu mmoja tu ndani ya Barcelona lakini Etoo alishinda mataji matatu mfululizo akiwa na Inter.

Kupitia kisa hiki tunajifunza kwamba kwenye maisha kuna wakati unatakiwa kuwaacha baadhi ya watu waondoke kwenye maisha yako hata kama unawapenda kupita maisha yenyewe....

Inawezekana Mungu amepanga ushinde makubwa ukiwa bila wao kwa sababu uwepo wao unaziba milango ya watu wengine waliobora kuja kwenye njia yako na kukusaidia kufikia malengo yako.

©JIFUNZE KUJIFUNZA
 
Back
Top Bottom