Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

FB_IMG_17303779634665915.jpg
 
Ni wazi Rais Samia ameonyesha uwezo mkubwa wa kuongooza na kuizamisha CHADEMA. Ndiyo maana nasema tusimharibie. CCM imeonyesha uwezo kufunika upinzani kwa theluji nzito ya hoja na mipango mikakati mizuri kabla na baada ya uchaguzi.
Ama kweli siasa ni sayansi.
Magufuli alitumia nguvu kuivunja Chadema, Samia anatumia sayansi kupunguza nguvu za Chadema.
Ushauri wangu kwa chadema, Mbowe awaachie wengine nao watumie maarifa yao kupeleka mbele chama hicho.
 
Ex girlfriend wa Elon Musk alimblock Elon kwenye Twitter baada ya kupata mpenzi ,Amber Heard alimuacha Elon musk kwasababu alipata mpenzi mpya twitter ,kitendo hiki kilimkera Elon Musk akaamua kuinunua twitter Kisha akamzuia ex wake kutumia mtandao wa twitter na kuibadirisha twitter kuwa na jina la X😁😁😁😁View attachment 3139184
Majibu ya ChatGPT baada ya kumuuliza ukweli wa hii stori
Screenshot 2024-11-01 112722.png
 
Back
Top Bottom