Jack Daniel
JF-Expert Member
- Sep 23, 2021
- 4,042
- 16,873
Weka lipa namba
Weka lipa namba
.
.
.wajinga sana mashabiki wa Yanga. hao wote wanakula supu utakuta siyo hata wanachama
yaani ni wagumu wa kuchangia timu yao
huku tarime ndo kabisa, majezi yenyewe wananunua copy za bei rahisi
Labda anataka kuokotwa kwenye hifadhi za taifa ๐๐๐Mshana futa hii ndugu yangu ๐คฃ
Angalia. App ya sasa ni ya hovyo. Una-quote hata post zisizohusiana.
Hivi hakuna heroes wengine waliolifanyia mema hili taifa?
Akina Mkwawa, Mirambo na Kinjenketile Ngwale ama? ๐Hivi hakuna heroes wengine waliolifanyia mema hili taifa?
God save our mother Tanzania...........
Sure......tena yange sound vizuri sanaAkina Mkwawa, Mirambo na Kinjenketile Ngwale ama? ๐