kajamaa kadogo
JF-Expert Member
- Nov 2, 2018
- 2,714
- 6,490
Ni hatari na wo they just think its normal wakati ni signs za devil worshipers
Life not fair...yaani ata huyu njemba ana mtoto mie sina
Kuna mmoja hapa ananiomba buku 30 lakini siku nilimuomba linda akaniambia oh mzabzab una sura mbaya siwezi kukupa linda langu 🤣🤣🤣
Mm najua tayari una wajukuu 😉😉Life not fair...yaani ata huyu njemba ana mtoto mie sina
hii ni kweli kabisa wala sii uwongo