kajamaa kadogo
JF-Expert Member
- Nov 2, 2018
- 2,714
- 6,490
Uhusiano wa jeshi na raia unapaswa kuwa kama ule na ssmaki na maji.
Mbwa sijui kapiga cha Arusha huyu kikamwendea vibaya 😁
Nilimwona dogo anajaribu kuhangaika na hili lishangazi la Sauzi. Nilimwonea huruma sana maana alikuwa ameelemewa balaa. Halafu kabananishwa zile staili ambazo siyo rafiki kwake kwa mizigo kama hii 🏃🏿♂️🏃🏿♂️🏃🏿♂️