Shimba ya Buyenze
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 183,582
- 1,105,829
Uhusiano wa jeshi na raia unapaswa kuwa kama ule na ssmaki na maji.
Niliwahi kusoma mahali fulani ila sipakumbuki!
Uhusiano wa jeshi na raia unapaswa kuwa kama ule na ssmaki na maji.
Mbwa sijui kapiga cha Arusha huyu kikamwendea vibaya 😁
Nilimwona dogo anajaribu kuhangaika na hili lishangazi la Sauzi. Nilimwonea huruma sana maana alikuwa ameelemewa balaa. Halafu kabananishwa zile staili ambazo siyo rafiki kwake kwa mizigo kama hii 🏃🏿♂️🏃🏿♂️🏃🏿♂️