Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

1718612849070.jpeg
 
N

Niliweka over 1.5
Mechi ya England na Serbia nikaliwa 100K
Pole kaka...kubet kunaumiza sana. Kuna ile game ya Liverpool na Everton nilimpa liver walau goli moja halafu akabamizwa mbili kama kasimama mkeka ukachanika.

Mwingine zilikuwa timu za Ujerumani baada ya kupitia sana statistics zao nikaona niwape no team to score 3 goals in a row kutokana na matokeo yao nikaona kabisa hapa magoli sio mengi. Mtu akabamizwa 3 bila afu ishirini yangu ikaenda na maji. Niliumia sana ukizingatia timu zote zilitoa kasoro hiyo na hii yote kiherehere cha kuongeza odds!
 
Pole kaka...kubet kunaumiza sana. Kuna ile game ya Liverpool na Everton nilimpa liver walau goli moja halafu akabamizwa mbili kama kasimama mkeka ukachanika.

Mwingine zilikuwa timu za Ujerumani baada ya kupitia sana statistics zao nikaona niwape no team to score 3 goals in a row kutokana na matokeo yao nikaona kabisa hapa magoli sio mengi. Mtu akabamizwa 3 bila afu ishirini yangu ikaenda na maji. Niliumia sana ukizingatia timu zote zilitoa kasoro hiyo na hii yote kiherehere cha kuongeza odds!
😂 😂 😂
Kubet uteja mbaya sana aisee
 
Back
Top Bottom