Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

babu nimeamini shape ni muhimu asee 🤣
View attachment 3013295
Ndiyo. Shepu ni kila kitu. Na hapa hii siri kubwa sana nakupa. Umbo la mwanamke huwa linabadilika hasa baada ya kujifungua watoto kadhaa. Hivyo usije ukashangaa umeoa pisi ya kueleweka (kama hiyo ya kushoto) halafu baada ya watoto wawili watatu hivi ikaanza kuhamia huo upande mwingine.

Ili kuepuka hili (na kwa vile wewe ni mtu wa mahesabu) angalia proposheni (mlingano) wa manyonyo, tako, kiuno, tumbo na miguu; na hakikisha kwamba hupati probability yo yote ya numerator kuwa kubwa kuliko denominator katika hali yo yote ile!

Ukijichanganya tu aisee utakuja kumkimbia mkeo huko mbele ya safari maana anaweza kuja kukubadilikia mpaka ukashangaa. Vinginevyo ukitaka kuoa nitafute ili nikufanyie hii tathmini ya kimahesabu ambayo ni 100% fool proof!

Angalizo: Huwa nalipwa kwa kazi hii muhimu! 😁💪💪💪

Screenshot_20240609_072158.jpg
 
Kazi za aina hio hufanywa na wasio na kiume aka 'hanithi', mwanaume mwenye nguvu zake lazima atakuwa mamatatani
Hapana. Hii ni kazi ya kawaida na watakuwa wamezoea. Ni sawa tu na daktari wa kiume wa uzazi na magonjwa ya wanawake (OBG - Obstetrician and gynecologist). Huyu kwa siku anaona mbususu za kila aina pengine zaidi ya 50 laivu na hata kuzishika shika na kuingiza vidole. Anakuwa ameshazoea na kwake ni jambo la kawaida tu!

Escorbio1417653329160 (86).jpg
 
Back
Top Bottom