Shimba ya Buyenze
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 183,582
- 1,105,377
Ndiyo. Shepu ni kila kitu. Na hapa hii siri kubwa sana nakupa. Umbo la mwanamke huwa linabadilika hasa baada ya kujifungua watoto kadhaa. Hivyo usije ukashangaa umeoa pisi ya kueleweka (kama hiyo ya kushoto) halafu baada ya watoto wawili watatu hivi ikaanza kuhamia huo upande mwingine.
Ili kuepuka hili (na kwa vile wewe ni mtu wa mahesabu) angalia proposheni (mlingano) wa manyonyo, tako, kiuno, tumbo na miguu; na hakikisha kwamba hupati probability yo yote ya numerator kuwa kubwa kuliko denominator katika hali yo yote ile!
Ukijichanganya tu aisee utakuja kumkimbia mkeo huko mbele ya safari maana anaweza kuja kukubadilikia mpaka ukashangaa. Vinginevyo ukitaka kuoa nitafute ili nikufanyie hii tathmini ya kimahesabu ambayo ni 100% fool proof!
Angalizo: Huwa nalipwa kwa kazi hii muhimu! 😁💪💪💪