Kumbe huwa hivyo, sikujua.
Kazi za aina hio hufanywa na wasio na kiume aka 'hanithi', mwanaume mwenye nguvu zake lazima atakuwa matatani
Hii mpya na nilikuwa sijawahi kuisikia. Ulikuwa unagawa dislikes bila sababu labda 😁Wakuu moderators wamenipa ban ya kuto like hivyo sina uwezo wa kulike post zenu mnisamehe tu wana vituko wenzangu 😢