Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

1717563256685.jpeg
 

Aahahahhaaa Taavid umenifanya nicheke kizembe....
Akili yangu imewaza vitu viwili kutoka quote yako....

1. Yees Sir... 😀😀😀 if you are where they say that....

Hapo juu ulivyoitamka, mulemule...

2. Wahaya Ta ni baba, mfano mtu anaitwa Angelo so kihaya watamuita TaAngelo kama anaitwa Rwiza basi ataitwa TaRwiza...
Taavid.....😜😜😜

Akili za Kasinde, zipotezee tuu.
 
Aahahahhaaa Taavid umenifanya nicheke kizembe....
Akili yangu imewaza vitu viwili kutoka quote yako....

1. Yees Sir... if you are where they say that....

Hapo juu ulivyoitamka, mulemule...

2. Wahaya Ta ni baba, mfano mtu anaitwa Angelo so kihaya watamuita TaAngelo kama anaitwa Rwiza basi ataitwa TaRwiza...
Taavid.....

Akili za Kasinde, zipotezee tuu.
Hapo namba moja nahisi nipo sawa... Jina lilitaka kufanania na mama yangu mmoja namkubali sana.

...Ila namba mbili ni another form ya jina langu aisee
 
Back
Top Bottom