Yes maam![]()
Hapo namba moja nahisi nipo sawa... Jina lilitaka kufanania na mama yangu mmoja namkubali sana.Aahahahhaaa Taavid umenifanya nicheke kizembe....
Akili yangu imewaza vitu viwili kutoka quote yako....
1. Yees Sir...if you are where they say that....
Hapo juu ulivyoitamka, mulemule...
2. Wahaya Ta ni baba, mfano mtu anaitwa Angelo so kihaya watamuita TaAngelo kama anaitwa Rwiza basi ataitwa TaRwiza...
Taavid.....
Akili za Kasinde, zipotezee tuu.

Dunia Haina usawa 😅😅
Dah bora waluguru hatujaguswa