Midekoo
JF-Expert Member
- Mar 30, 2015
- 47,773
- 256,796
๐ ๐ ๐ ๐๐ฒ๐ฒ๐ฒ๐ฒ Kwa hiyo leo hamna ile "give her money"
๐ ๐ ๐ ๐๐ฒ๐ฒ๐ฒ๐ฒ Kwa hiyo leo hamna ile "give her money"
hahaha wewe hujakutana na wale wa kukaa zile chupi zenye vikamba vinapita kwenye mfereji wa matako

mkuu umenikumbusha hapo napokaa kuna msichana mmoja kuna siku nilikuta amefua nguo zake kamba nzima kwa kweli nilishangaa sana. Ni vikamba kamba tu, vyupi vya net na vinguo vidogo vidogo kama vya watoto, nilibaki nacheka tu!!Shida ya vijana wanaopenda miselelekoTaasisi za kutetea haki za waulana na wanaume zimekaa kimya kama hawaoni.
Huyu dada atamaliza wavulana hapa mjini![]()

Uji siku ya msiba wako