Cymon Taylor
JF-Expert Member
- Apr 3, 2019
- 1,754
- 3,427
Ameleft group! Ni huyo chalii wa mwishoMwanamke katoka wapi 2020?
Ameleft group! Ni huyo chalii wa mwishoMwanamke katoka wapi 2020?
Kimoja chenyewe unakuta cha kunywa sana mchuzi wa pweza na karanga mbichiHahaha
Jamaa mdebwedo keshapiga kimoko anataka kwenda breaks.
Ameshtukiwa![]()

ungejaliwa kupanda milima ya kwetu ungesimulia daima., hata hivyo lushoto inasifika sana kwa mandhari nzuri na za kuvutia.
Kumbe na wewe unamfatilia kama mimi😂
Anaitwa suzy bale mtu wa uswahiliniHuwezi amini, ndo kwanza nimemuona huko yutubu kwenye hii klipu na sikuelewa kinachoendelea, nikaona imekaa ki ukituko ukituko...
Usambara tangaUkiondoa Mlima Kilimanjaro ambao bado sijafanya maamuzi, niambia nianze na mlima upi Tanzania nifurahie mandhari kabla sijarudisha namba....
Ukiweza naomba listi kama milima 4 hivi ila isiwe migumu ndo maana Kili nimeuweka kiporo kwanza 😜😅😅.
Anaitwa suzy bale mtu wa uswahilini
Ukimsikiliza lazima mbavu zikuume kwa kucheka
Usambara tangaView attachment 3004327
Uluguru morogoro View attachment 3004328
Meru meruView attachment 3004329
Rungwe mbeyaView attachment 3004334
Lukumburu ruvumaView attachment 3004335
Mahale kigoma
Pugu dar es laamView attachment 3004337
Ana interview yake na diva lavidavi pia uiangalieOkay nikiwa mapumziko ntakuwa namchungulia niongeze maisha.