Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

🤣🤣🤣🚶‍♂️🚶‍♂️🚶‍♂️
FB_IMG_1615322689606.jpg
 
Screenshot_20240529-180136_WhatsApp.jpg


If you know, you know....😊.

Iko hiviiii......

Mifumo imewekwa ili kuendesha mambo yaliyopangwa na wanadamu awali....
Dunia ina mifumo yake iliyowekwa na wako wanaoisimamia hiyo mifumo iendelee kufuatwa.

Nchi yetu pia ina mifumo iliyowekwa na serikali inayowakilishwa na baadhi ya watu ambao hukaa vikao na kusuka mipango/mifumo ya kuendesha nchi.

Mipango/Plan, pesa ipo hapa....

Kuna namna ukiwepo kwenye hizi nafasi za nyeti unakuwa na mamlaka ya kusimamia na kudhibiti mifumo/mipango hiyo iliyowekwa.

Walau uwe na mshkaji kama si shosti ambaye yuko kwenye hizo nafasi walau kwa namna moja au nyingine itachangia kutatua mikwamo yako..

Usipojipanga ama ukawa kwenye kundi la wapangaji, utapangwa...!!

Ila Mpango ni jila la mtu...

Akili za Kasinde hizii...😜 sijui ndo ukosefu wa Bange Kichwani.....🤔🤔🤔

Ashakum Kumradhi, nilijua niko jukwaa la Kusema Chochote kumbe niko kwee Vitimbwi na Vituko...

Again, Al Kumradhi...🙏.

Adios 👋.
 
Back
Top Bottom