Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

Kazi na bata
Screenshot_20200723-231039.jpg
 
hhhhhhhhh
#February2017

GWAJIBOY: Mimi siwezi kugombea ubunge kwa sababu nitakuwa nimejishusha chini. Ubunge kwangu ni demotion. Mimi ni mkubwa kuliko mbunge, mimi ni mkubwa kuliko Waziri, Mimi ni mkubwa kuliko Rais. Sema Amen.

WAUMINI: Ameeeeen.!

#July2020
GWAJIBOY: Itoshe tu kusema sasa nagombea ubunge jimbo la Kawe. Kuna watu wanasema eti ubunge ni kujishusha chini. Ngoja niwapasue sasa.

WAUMINI: Pasuaaaaa.!

GWAJIBOY: Ubunge sio kujishusha chini ni kupanua huduma, sema kupanua.

WAUMINI: Kupanua.

GWAJIBOY: Kupitia kanisa nilikua nafikia watu wa Dar es Salaam peke yake, lakini kupitia ubunge nitafikia taifa zima sasa. Napanua huduma. Sema kupanua.

WAUMINI: Kupanua.!

Jr
 
Makonda anateseka akifika msibani anakaa upande wa pili tunapokaaga sisi wakati angekuwepo meza kuu na mkuu wa nchi na ndio angekuwa kati ya wanaokaribisha wageni mbalimbali kutoka nchi mbalimbali uku akiwa kwenye ulinzi mkubwa na msafara wa magari ya ikulu

Maisha nyoko sana
Tunywe bia

Jr
 
ZIJUE KAULI MBALI MBALI ZA WAJUMBE

"tupo pamoja"

"tupo nyuma yako"

"unakubalika sana"

"umeeleweka sana"

"sifa zako zilitangulia kabla yako hata huna sababu ya kuongea nasi"

"wewe ni jembe"

"wapinzani wako wanataka kupima kina cha maji kwa miguu miwili"

"mzee shona suti za ubunge kabisa maana njia nyeupe kabisa"

"Wee mtu wetu sana tena wa nyumbani kabisaa"

"mzawa".

" Huna dhambi"

. "marehemu Babaako tumeishi nae vizuri sana kipindi yupo hai"

"wee ndio chagua letu"

"Wewe ni mtu wa watu".

"Huna makuu".

"Usihofu".

"Tunasimama naww",

"wewe ndo mtu wetu hatutaki mwingine.."

Ongezea

Sent from my Infinix X627 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom