Kasie
Platinum Member
- Dec 29, 2013
- 22,801
- 43,177
Ndiyo kusema kiasili Wanawake huwatamani Wanawake wenzao sio? 🙌
Nop, may be yes to others (lesbo) but not me. Am straight na nakunjunjwa vizuri tuu na babu yenu.
Naelewa kuna uzi mwembamba sana wa kusifia kitu kizuri na kutamani...
Naelewa pia wanawake huwa tuna asili ya kuoneana wivu wenyewe kwa wenyewe na kutosifiana hata kama kitu kinastahili sifa...
Ama kutoa sifa za uongo ilhali mwanamke mwenzako hajapendeza au yuko kawaida tuu....
Yumkini mmesikia sauti ya kiume kwenye maandishi yangu kwa namna nilivyosifia matiti....
Ila nilishindwa namna ya kuelezea na sikuwa na picha, kwahiyo mniwie radhi tuu kwaleo, ila yale matiti.... hakuna mwanaume atachomoa baada ya kuyaona.
Na matiti yake hayakuwa makubwa, picture them small to medium size.
Adios 😉.