Kasie
Platinum Member
- Dec 29, 2013
- 22,801
- 43,177
View: https://youtu.be/2a2uHriBJG8?si=mcAB7DE0kVmgU0_c
Mmoja wa wanachama wa kataa ndoa amekutana na binti Mahaba akasaliti chama....😍😍😍
Hapana chezea Mahaba,
Hata sasa kuna Boeing yetu bado imekwama huko Malaysia. Dege jipya la dola karibia milioni 30 lipo tu huko limekaa kwa zaidi ya miezi minane imagine! Usikute watu walipiga wakanunua mabovu kwa bei mpya! 🚮
sumbai na wenzake huyo akiogopa gono na UTI