Hukuenda kumuungisha?Riziki zina patikana kwa shida sanaView attachment 2981014
Kwa ile mvua sikupata hata wazo la kumuungisha aisee!Hukuenda kumuungisha?
Itakua poa sana, Mungu atakubarikiKwa ile mvua sikupata hata wazo la kumuungisha aisee!
Yupo tegeta pale nikipita tena must be nimpe pongezi na kumuungisha.