Midekoo
JF-Expert Member
- Mar 30, 2015
- 47,773
- 256,795
🏃🏃🏃Nitumie PM nithamishe
🏃🏃🏃Nitumie PM nithamishe
🤣🤣🤣
Mahusiano yanafubaza
View attachment 2960747
Wanawake wakiwa kwenye mahusiano wanajitupa, hawajithamini kabisa.
Hapa kinaendelea nini mkuu?
Wenye mahaba yaoHapa kinaendelea nini mkuu?
Mahusiano yanafubaza wanaume mnatuongopea mnasema mnatupenda Kama tulivyo kumbe waongo 🤣🤣🤣😅😅Wanawake wakiwa kwenye mahusiano wanajitupa, hawajithamini kabisa.
Ndiyo maana ma house girl wanajitwalia maisha
😊😁❤️😔💕
Kuna sehemu nilikuona, hauna tofauti na picha yako ya zamani kwa sasa.Picha yangu ya Zamani umeitoa wapi?
😂😂😂tupo nje ya mda🤣🤣🤣🤣
AiseeKuna sehemu nilikuona, hauna tofauti na picha yako ya zamani kwa sasa.
Kwani hiyo pesa kashinda yeye mpk nimfanyie kitu?? 😜
🤣🤣🤣🤣🤣Kwani hiyo pesa kashinda yeye mpk nimfanyie kitu?? 😜
Pesa haitambui mapenzi yetu na beib wangu🤣🤣🤣🤣🤣
Yaani we ni gaidi la Kitanzania
Nitamuacha.
Halafu sikujua Wewe ni Ke Mkuu 😂😂😂Nitamuacha.