Shimba ya Buyenze
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 183,582
- 1,105,402
Mapenzi ya kweli yapo!
Mchagaa🤣
Ni gari hilihili ninalojua au gari gani wamemaanishaKuwa mwangalifu sana unapotaka kununua gari. Kuna magari yameendeshwa sana na madereva wengine huwa hawafuati sheria za barabarani!
View attachment 2937306
Kwa mfano ukiambiwa umuelezee kwa ufupi late president Magufuli utaelezeaje?
Tunaishi kwenye kipindi ambacho kila kitu kimevurugika.... Kwa maslahi ya wakuu wa dunia.