Pendaelli
JF-Expert Member
- Feb 13, 2014
- 12,105
- 35,136
sio kwa mimi bro, niko na 37 sina tukio zito wala baya na ni mpole kwa kiasi chake kwa mujibu wa watu wanaonizunguka.
sio kwa mimi bro, niko na 37 sina tukio zito wala baya na ni mpole kwa kiasi chake kwa mujibu wa watu wanaonizunguka.
Sio wapole wanajifanya wapole kuficha makucha Yao.
Iko wapi......
Si Kweli.
Kwa Sisi vimbaumbau vinyau vitakaa mgongoni 😅😅
Kunyimwa kunauma.
Ukiwauliza watesema hanunuliki, anaongoza vizuri, ana maono, amejenga miundombinu nk.
Ndiyo mwenyewe huyo
Aisee, huyu si amefikishwa hapo alipo na mwanaume kabla wengine hawajamuona!!!
Nishatumia sana hizi.
Hii ni miaka ya 80.