Vituko mitandaoni. Tupia chako

Somo muhimu sana. Usimtuhumu na kumhukumu mtu bila kuwa na uthibitisho na uhakika wa jambo. Kuhukumu watu haraka haraka na kwa kutegemea maneno tu ya watu mara nyingi utaishia kukosana na watu wema bure...na hii inaweza kukugharimu pakubwa!

Mama E. Bila shaka alishanisamehe huko aliko πŸ™πŸΏβ€οΈ

 
Duuu, umempa maneno mazito yenye uhalisia mkubwa.
Jamaa huwa anawaza mgegedano kila anapoona bi dada analanda landa mbele yake
Lakini kwenye maendeleo ya kitaifa anawalalamikia wengine.
Wafrika tuko hivyo.
 
Akili za walio wengi wetu zinafanana.
Ni ngono tu.
Lakini wakitoka kugegeda wanalaumu viongozi kudumaza maendeleo.
Maendeleo ya nchi yako yanaanza na wewe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…