Sasa jamani kwani mie mzabzab kuwaza ngono ndio muwapakazie vijana wote....mbona marekani kuna vijana wa hovyo kama mie lakini bado taifa kubwa na maendeleo yapo. Tena basi hao vijana wa hovyo ndio wanaingiza mpunga mkubwa kuliko nba, nfl mlb combined.
Kwa hiyo suala la mzabzab kupenda ngono hicho ni kisingkzio sio sababu. Kwani hao wazee wetu wenye akili wao wanawaza nini?