Vituko mitandaoni. Tupia chako

Kweli msukuma akierevuka; mnyaki yu mashakani. Ngoja nijaribu sasa
Wanyaki na Wasukuma hatupaswi kuchekana jamani maana wote ni majiganyanza linapokuja suala la kuchekwa sababu ya ushamba πŸ‘‡



Labda mnatuzidi tu kwenye utata basi! πŸ‘‡πŸƒπŸΏβ€β™‚οΈπŸƒπŸΏβ€β™‚οΈπŸƒπŸΏβ€β™‚οΈ

 
Hata Wasukuma wengi wasomi wembe ni ule ule. Niliambiwa eti wanakimbilia ule weupe wa pisi za huko....

"Pisi kali nyeupe ya Kinyarwanda dah!"....Jiiizozi!πŸƒπŸΏβ€β™‚οΈπŸƒπŸΏβ€β™‚οΈπŸƒπŸΏβ€β™‚οΈπŸƒπŸΏβ€β™‚οΈπŸƒπŸΏβ€β™‚οΈπŸ™ˆ
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…