Shimba ya Buyenze
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 183,582
- 1,105,383
Siku zote wapo Tanzania wanatafuta maandazi wakale makwao lakini hawaishi nyodo.
Mkuu kumbe unauguliwa, pole sana mzee, mungu akufanyieni wepesi kwenye mtihani mzito kama huoBado tunapambana anategemea kuondolewa ziwa lingine vipimo vikikamilika.
