Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

FB_IMG_1708161692604.jpg
 
Sheria za kuvaa suti.. wahenga mnaelewa

1.Usikimbie
2 Usipande Baiskeli wala Pikipiki
3. Usipande Pick Up
4.Usilewe
5. Usitoke jasho.
6 Usivae ndala
7. Usilie hata kama umefiwa na mtu wa muhimu
8. Usigombane
9.Usiombe Kalamu
7. Usile kwa Mama Ntilie
8.Usile muhindi njiani
9.Usile Muwa
10.Usiambatane na mwanamke aliyevaa Khanga
11. Mwisho kabisa usichomekee koti..

Mbona yule mzee alikuwa anatafuna mahindi ya kuchoma njiani!!
 
Baadaye ikawa mwezi ujao

View attachment 2906591
Kwakweli tusidabganyane eti wawashe mitambo leo na siku hiyo hiyo waingize kwenye grid ya taifa kisha tuambiwe tatizo la umeme limeisha.
Siyo kweli.
Unapowasha mashine kwa mara kwanza kuna dosari nyingi za kiufundi zinajitokeza.
Mpaka kumaliza inaweza kugharimu mwezi au zaidi.
Tatizo bado tunalo, labda zaidi ya hapo
 
Back
Top Bottom