Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

Nimeiokota salon ila nakujua wewe ni Jane
IMG_1701468451364.jpg
 
Mchezaji Kibwana Shomari wa klabu ya Yanga ametozwa faini ya Tsh. 1,000,000 (milioni moja) kwa kosa la kuonekana akiondoa taulo la mlinda mlango wa klabu ya Mashujaa lililokuwa limewekwa pembeni ya lango wakati mchezo ukiendelea, jambo lililoashiria imani za kishirikina.

Mchezaji Clement Mzize wa klabu ya Yanga ametozwa faini ya Tsh. 1,000,000 (milioni moja) kwa kosa la kuonekana akiondoa taulo la mlinda mlango wa klabu ya Dodoma Jiji lililokuwa limewekwa kwenye lango la klabu hiyo wakati mchezo ukiendelea, jambo lililoashiria imani za kishirikina.
FB_IMG_1708100962181.jpg
 
Back
Top Bottom