Mchezaji Kibwana Shomari wa klabu ya Yanga ametozwa faini ya Tsh. 1,000,000 (milioni moja) kwa kosa la kuonekana akiondoa taulo la mlinda mlango wa klabu ya Mashujaa lililokuwa limewekwa pembeni ya lango wakati mchezo ukiendelea, jambo lililoashiria imani za kishirikina.
Mchezaji Clement Mzize wa klabu ya Yanga ametozwa faini ya Tsh. 1,000,000 (milioni moja) kwa kosa la kuonekana akiondoa taulo la mlinda mlango wa klabu ya Dodoma Jiji lililokuwa limewekwa kwenye lango la klabu hiyo wakati mchezo ukiendelea, jambo lililoashiria imani za kishirikina.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.