Principal ya kuolewa,anatunza kitumbua cha watu.
Kila nafsi itaonja mauti kwa herufi kubwa
Huyu itakuwa kamzoesha huo mchezo. Mbona hao wengine hawafuati?Koko basha... Mbambiaji
View attachment 1481330
Alaf uwa tunauliza "shemej ulikuwa siku zote mbona sijawai kukuona?" Uku tunajiambia kimoyo moyo "ama kweli haraka haraka haina baraka"![]()





