Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

IMG-20240114-WA0064.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Afadhali.

Utazihitaji ukweni 😁😁😁
😂😂😂
Ulijuaje..!? Nilitaka andika hicho kitu kisha nikafuta..!!
Nilikuwa nina nguo ndefu chache tu, ila nikawa sipendi kuzivaa, siku niliyojaribu kuvaa moja kwa mara ya kwanza kazini, watu hawakunitambua na wengi waliniambia tu ukweli kuwa nguo ndefu hazikupendezi, huwezi amini niliona siku ndefu siku hiyo kazini..!

Mpaka mdogo wako nikamtumia picha na yeye akawa support,😂

Nilitoka hapo nikazigawa zoote,
Depal
 
😂😂😂
Ulijuaje..!? Nilitaka andika hicho kitu kisha nikafuta..!!
Eti nilijuaje? Hivi umeshasahau kuwa ulishawahi kuniambia kuwa nina akili sana? Hii ilikuwa ni kipindi fulani hivi baada ya kusoma "uzi" wangu mmoja wenye kurasa 5+ tena nondo tupu wakati ule niko Scandinavia hukooo....💪💪💪💪

Anyway tuyaache hayo. Kuna mazingira nguo ndefu utazihitaji tu na ukweni ni mojawapo. Na lazima kuna dizaini ambayo itakupendeza tu. Hata huyo shoga yako lazima tu anazo asikudanganye!
 
Back
Top Bottom