Nyie acheni hizi tupeni dawa yakuwa invisible tuingie banki kuu tuchukie hela bwana
Na yeye sii alikuwepo kwenye hiyo serikali ama?
Kuna mvulana kutoka Afrika anaweza kutimiza miaka 30 na bikra?Tuseme Sadio ndiyo Ndoa ya kwanza? Kwamba alikuwa bikra
Aweee jaivah 😅😅