Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

FB_IMG_1704829703615.jpg
 
Tuseme Sadio ndiyo Ndoa ya kwanza? Kwamba alikuwa bikra
Kuna mvulana kutoka Afrika anaweza kutimiza miaka 30 na bikra?
Fikiria Sadio Mane ametoka kijijini Bambali ambako hali ya maisha kwenye vijiji vyetu ni duni.
Pia kumbuka huyu bwa mdogo ameishi na hela ndefu zaidi ya miaka 6 sasa ambazo warembo wangi barani Afrika na kwingineko zinawavutia.

Siamini bikra kwa Mane
 
Back
Top Bottom